MSANII WA MUZIKI WA TAARAB AFRIKA MASHARIKI, KHADIJA OMARY KOPA AMEWACHANA MASTAA WA KIKE WASIOHESHIMU WAUME ZAO KWA USUPASTAA WAO, AKISEMA SUALA HILO LIMEWAFANYA WASHINDWE KUDUMU KATIKA NDOA ZAO.
Malkia huyo alitoa dongo hilo juzikati wakati alipokuwa akipagawisha mashabiki wake katika ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori jijini Dar alipokuwa jukwaa moja na bendi ya Extra Bongo, akiimba nyimbo zake mbili za Fahari ya Mwanamke na Full Stop.
“Mwanamke unajiona staa mbele ya mumeo kisa supastaa, eti inafikia hatua hadi unaachika! mwanamke unapaswa uwe na heshima kwa mumeoeeee!”alisema mkali huyo na kuitikiwa kwa shangwe na mashabiki wake kibao waliokuwa wakimshangilia kwa nguvu.
Bonyeza Hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- VIDEO: Mama Wema Aeleza Beef yake na Man Fongo Kisa……..09 Sep 20160
NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa ...Read more ?
- Busu la Nelly Kamwelu shavuni kwa Diamond akiwa na Wizkid lawatoa povu mashabiki (Video)25 Aug 20160
Haipiti wiki bila Diamond kuwatoa povu mashabiki, hata kama alichokifanya si kwamba alidhamiria...Read more ?
- Picha za Masanja na Mke wake Zazua Maswali Kwa Mashabiki wake..Wadai Mke wa Mchungaji Apaswi Kuvaa Hivyo19 Aug 20160
Baada ya Harusi ya Mchekeshaji Masanja na Mkewe iliyofungwa Jumapili iliyopita wawili hao wameon...Read more ?
- AUDIO: Kitu Diamond kasema kuhusu yeye kuwa mapenzini na Hamisa Mobetto03 Aug 20160
Ukaribu wako kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni unaweza kuwa ulikukutanisha na stori...Read more ?
- Shamsa Ford Amuweka Wazi Mpenzi wake Mpya03 Aug 20160
Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa baada ya kuachana na mpenzi wake wa...Read more ?
- Madai: Flora Amwangukia Mbasha30 Jul 20160
Habari ya mjini ni Mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha kudaiwa kumwangukia mumewe waliyetengana, Em...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment