Karrueche Tran ambaye amekuwa na mapenzi ya kimulimuli na Chris Brown kwa muda mrefu, ametoa tamko ambalo linaongeza hisia kuwa huenda tetesi za ukaribu wa Rihanna na Chris Brown zikawa za kweli.
Karruche ametoa tamko lake rasmi wakati akijibu swali la shabiki mmoja na kueleza kuwa Chris sio wake.
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyeza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment