

- Sweetberth Sezalius Acha kumfanya Yesu Ukuta wa kujiegamia yeye hakuwa binadamu wa kawaida kama kuani wewe Mzinifu Tapeli wa mapenzi Fisadi wa aki za mwanao Via mbele wewe ukemeshaozaLike · Reply · 5 · 2 hours ago
- Flora Mbasha's Music hata yesu walisema hivyo hivyo ingawa alikuwa kuhani, bado hawakumwamini, na hata alipofufuka walisema ameibia,, sasa mimi ni nani nisisemwe.. yesu alisema duniani mnayo dhiki jipeni moyo, pia akasema kama waliwaudhi manabii wa zamani msistaajabu ulimwengu ukiwachukia na ninyi
- Mtasingwa Kitula Nilikuwa nakuheshimu na kuthamini kazi yako kumbe we ni wakala wa shetani na umezalilisha walokole wote kwa kuzini nje ya ndoa kisa pesa kweli we mama umelaaniwa na ninakuchukia cna
- Flora Mbasha's Music usihukuku usije ukahukumiwa wewe, kuna watu wengi hawataingia mbinguni kwa kuhukumu wasio na hatia.. maneno ya kusikia sikia sio ya kushadadia ni bora uone mwenyewe kwa macho.. lakini hata hivyo ninashukuru kwani kila mmoja anahisia zake sio kosa lako, ila naamini hata wewe ulishakutwa na majanga ya kusingiziwa kama yalivyonikuta mimi.
- Mtasingwa Kitula Nilikuwa nakuheshimu na kuthamini kazi yako kumbe we ni wakala wa shetani na umezalilisha walokole wote kwa kuzini nje ya ndoa kisa pesa kweli we mama umelaaniwa na ninakuchukia cna
- Flora Mbasha's Music usihukuku usije ukahukumiwa wewe, kuna watu wengi hawataingia mbinguni kwa kuhukumu wasio na hatia.. maneno ya kusikia sikia sio ya kushadadia ni bora uone mwenyewe kwa macho.. lakini hata hivyo ninashukuru kwani kila mmoja anahisia zake sio kosa lako, ila naamini hata wewe ulishakutwa na majanga ya kusingiziwa kama yalivyonikuta mimi.
- Nsabi Adipunaga Kwema dada mpendwa katika kristo na swali dogo eti hizi tuhuma zinazoendelea kusikika nikweli unamimba ya mchungaji wako Gwajima? Je kama nikweli unajionaje umesaliti ukristo na mmeo au unawaambiaje washabiki wako na watanzania kuhusu hizi tuhumaLike · Reply · 5 · 3 hours ago
- Flora Mbasha's Music kama nina mimba basi ni ya mume wangu, nimekaa kwenye ndoa miaka12 cjawahi kuisaliti ndoa yangu, kwa nini leo...? sina mahusiano na mwanaume yeyote zaidi ya mbasha na sina mpango huo
- Flora Mbasha's Music sijawahi kujichubua rangi niliyonayo ndiyo niliyopewa na Mungu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu, na kama ningetaka kujichubua ningefanya hivyo kwani kila mtu ana uhuru na mwili wake ila unatakiwa tu kuangalia madhara unayoweza kuyapata kutokana na unachokifanya.Like · 2 · 2 hours ago
- Kimeta Wa Mpui Iwee chanzo ni yeye au wewe mrudiee mmeoo nimdmsikiliza saana the guy loves you... so much japo wewe huna hadhi ya kua nae yeye ni kijana handsame wewe ni bibi. Ila anakupenda kumbukaa wewe ndio ulimtongozaLike · Reply · 13 · 2 hours ago
- Flora Mbasha's Music unaonaje ukimpa dadayako mrembo amwoe...?Like · 4 · about an hour ago
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment