
Presenter
maarufu ndani na nje ya bongo akiwa pia anajishuhulisha na maswala ya
ugizaji Msanii Jokate Mwagelo katika hali isiyokuwa ya kawaida amekutana
uso kwa uso na aliwewahi kuwa mpenzi wake msanii Diamond kaitka moja ya
Interview ambayo hufanya kwenye kipindi cha The One show kinachorushwa
na kituo cha Tv cha Tv1,ambapo Joakote alionekana kumwonea aibu msanii
Diamond na yeye pia nguli wa bongo Fleva kuoneka akiona aibu vilevile
unaweza kutizama pia hizo hapa


UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment