Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Screen Shot 2014-08-02 at 7.30.26 AM
Stori nyingine kubwa kwa staa wa muziki duniani kutumia maneno ya Kiswahili nakumbuka ilikua December 6 2013 ambapo Nicki Minaj aliandika maneno ya Kiswahili kwenye page yake ya instagram kumuenzi Mzee Mandela baada ya kifo ambapo baada ya kumsifia aliandika mwishoni ‘madaraka kwa watu’



Saa kadhaa zilizopita headlines zimehamia kwa P Diddy ambae ameweka hii picha hapa chini kwenye page yake ya instagram na kuandikia hashtag ya #SIMBA.
Screen Shot 2014-08-02 at 7.24.16 AM
Screen Shot 2014-08-02 at 7.24.30 AM
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712-483 331

 


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top