Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




Watoto wa Tecra waliozaliwa wakiwa ni wanne huku mmojawapo ambaye hakufunuliwa uso akiwa amefariki dunia muda mfupi baada ya kuzaliwa




 Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Misungwi Proscovia Leopod akimhudumia bi Tecra baada ya kujifungua


Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Tecra Kazimili(24) mkazi wa Lubili katika wilaya ya Misungwi Mkoa wa Mwanza amjefungua watoto (4) kwa wakati mmoja huku mtoto mmoja wa kiume akifariki muda mfupi baada ya mama huyo kujifungua.
Akizungumza na waandishi wa habari waliofika kushuhudia tukio hilo ambalo si la kawaida mama Tecra alisema hii ni mara yake ya nne kujifungua lakini ni mara yake ya kwanza kujifungua watoto wanne kwa wakati mmoja. 
Bonyeza kusoma zaidi
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top