Watoto
wa Tecra waliozaliwa wakiwa ni wanne huku mmojawapo ambaye hakufunuliwa
uso akiwa amefariki dunia muda mfupi baada ya kuzaliwa
Muuguzi
wa Hospitali ya Wilaya ya Misungwi Proscovia Leopod akimhudumia bi
Tecra baada ya kujifungua
Katika
hali isiyokuwa ya kawaida, Tecra Kazimili(24) mkazi wa Lubili katika
wilaya ya Misungwi Mkoa wa Mwanza amjefungua watoto (4) kwa wakati mmoja
huku mtoto mmoja wa kiume akifariki muda mfupi baada ya mama huyo
kujifungua.
Akizungumza
na waandishi wa habari waliofika kushuhudia tukio hilo ambalo si la
kawaida mama Tecra alisema hii ni mara yake ya nne kujifungua lakini ni
mara yake ya kwanza kujifungua watoto wanne kwa wakati mmoja.
Bonyeza kusoma zaidi
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment