Pikipiki aina ya Suzuki ikiwa imenasa mbele ya Lori baada ya kugongana uso kwa uso .Ajali
imetokea barabara kuu ya Arusha Moshi ikihusisha Lori aina ya Sacania
lenye namba za Usajili T 137 ATA na pikipiki aina ya Suzuki yenye namba
SU 40262 mali ya Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini
Moshi(MUWSA).
Katika ajali hiyo mwndesha pikipiki aliyefahamika kwa jina la George Lyamuya, mfanyakazi wa Mamlaka ya maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi, alifariki dunia papo hapo.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:-
0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro










Post a Comment
Post a Comment