Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Uhamisho wa pauni milioni 8.5 wa Loic Remy, 27, kutoka QPR kwenda Liverpool umeshindwa kukamilika.
Liverpool hawataki kusema kwanini uhamisho huo umeshindikana, lakini inasemekana huenda mchezaji huyo ameshindwa kupita vipimo vya afya.
Remy alisafiri hadi Marekani siku ya Jumatatu ambapo Liverpool wanafanya ziara.
Liverpool walipanga kumpa jezi namba 7 kama mkataba ungekamilika.
Remy sasa huenda akalazimika kurejea QPR.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top