Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Screen Shot 2014-07-26 at 4.23.21 AM 
Kwa mujibu wa daily mail hizi ni picha za kwanza za mabaki ya ndege ya Air Algerie ambayo ilianguka mashariki mwa nchi ya Mali ikitokea Ouagadougou Burkina faso kuelekea Algiers Algeria.
Kwenye eneo la ajali hii iliyoua watu wote 116 waliokuwemo ndani baada ya kupoteza mawasiliano dakika 50 baada ya kupaa, kumepatikana mabaki ya ndege yenyewe pamoja na mabaki ya baadhi ya viungo vya binadamu.
Ajali hii inakamilisha hesabu ya ajali kubwa ya tatu ya ndege kutokea ndani ya kipindi cha siku saba huku nyingine zikiwa ni ajali za ndege ya Malaysia Ukraine na nyingine ya TransAsia Airways  iliyotokea Taiwan na kuua watu 48. Screen Shot 2014-07-26 at 4.23.08 AM 
Wafaransa 51, 27 wa Burkina Faso, Walebanon nane, Waalgeria sita, Wacanada watano na Wajerumani wanne ni miongoni mwa  abiria waliokuwemo kwenye hii ndege huku wengine wakiwa ndugu kama inavyoonekana kwenye baadhi ya picha hapa chini.
Screen Shot 2014-07-26 at 4.22.58 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.22.52 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.23.30 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.24.11 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.24.44 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.25.05 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.25.29 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.25.55 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.26.13 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.26.30 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.27.28 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 4.27.44 AM
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top