Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
kwa mbali ndani ya gari ni mwili ukiwa tayari kupelekwa polisi kwa hatua zaidi
Mlinzi aliyekuwa akilinda vibanda katika maeneo ya veta mlole kigoma  amekutwa amenyongwa usiku wa kuamkia leo na wezi wamefanikiwa kuiba kila kitu katika vibada vilivyopo maeneo hayo.

marehemu alikutwa amefungwa makaratasi ya lailoni miguu na kunyogwa shigoni. mwili wake ulikutwa leo asubuhi katika vibanda hivyo ambapo alikuwa ni mlinzi wa vibanda hivyo. mwili wake umeshapelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Kigoma Maweni kwa taratibu za mazishi zikifuata.
hapa ni umati watu wakiangalia mwili wa mlinzi aliyenyongwa na wezi maeneo ya veta kwenye banda alilokutwa amefariki.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top