Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Kwenye picha ni mwanamke wa Malaysia pamoja na mwanae aliyekua asafiri na ndege ya Malaysia iliyopata ajali akishindwa kujizuia kwa kutokwa na machozi baada ya kusikia ndege aliyokua asafiri nayo kudunguliwa na kombora kwenye mpaka wa Urusi na Ukraine. Sababu ya mwanamuke huyo kutokuwemo kwenye ndege hiyo ni kwa sababu ya kuchelewa na kukuta ndege ishaondoka na baadae alisema hii ni mwenyezi Mungu amenipa nafasi nyingine ya kuendelea kuishi.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top