Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wananchi wakiwa wamejazana huku wakiliangalia lori aina ya fuso lililowagonga wafanyakazi sita wa kiwanda cha Mazava na mmoja kufariki dunia papo hapo kwa kuangukiwa na lori hilo baada ya kupinduka wakati dereva wake akijaribu kumkwepa mwendesha pikipiki katika barabara kuu ya Iringa-Morogoro eneo la Bene Msamvu mkoani Morogoro
Mkono ukiwa unanekana huku mwili ukiwa umekandamizwa na kichwa cha lori hilo kabla ya mwili kutolewa katika eneo la tukio.
Hapa mwili ukiwa bado haujatolewa.
Baada ya magari yenye kunyanyua vitu vizito kunyanyua na wananchi kupata nafasi ya kuutoa mwili uliokuwa umekandamizwa na lori hilo.
 Picha zaidi bofya hapa
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top