Kocha
Roberto Martinez wa Everton amekamilisha usajili wa mshambuliaji wa
kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku aliyeichezea klabu hiyo kwa mkopo
msimu uliopita.Dili hilo limeigharimu klabu hiyo ya Goodison Park paundi milioni 28.
Lukaku
alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini ameichezea mechi 10
za ligi kuu kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton
alikohamia jumla.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment