Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Dar: Wezi waiba begi lenye chatu wakidhani pesa
Mwenye nia mbaya anaweza kudhani amepata kumbe amepatikana, anaweza ukadhani kila siku atapiga bingo kama hatakamatwa na raia kumbe mzigo alioiba unaweza kugeuka fimbo na hatari kubwa kwake hata bila kukamatwa.

Watu wasiojulikana wanasadikika kuiba begi kubwa maeneo ya Sinza, Dar es Salaam wakidhani begi hilo lina pesa na badala yake wakakutana na chatu mkubwa walipolifungua.

Wakazi wa Sinza walimkuta chatu huyo katika daraja akiwa karibu na sanduku hilo linaloaminika kuwa lilimbeba chatu huyo. Inaelezwa kuwa wezi hao walilitupa begi hilo na kutokomea pasipojulikana baada ya kuona mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
kama huja jiunga nasi kwenye  ukurasa wetu wa facebook kwa habari zaidi BONYEZA HAPA 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top