Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Star: Lionel Messi (above) hit a brilliant double to help Argentina defeat Nigeria
Nyota: Lionel Messi (juu) aliifungia mabao mawili Argentina dhidi ya Nigeria.
TIMU ya Taifa ya Nigeria maarufu kama Super Eagles imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 ya kombe la dunia licha ya kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Argentina.
Mshambuliaji hatari wa kikosi cha Alejandro Sabella, Lionel Messi amefunga mabao mawili katika dakika ya 3 na 45  katika ushindi uliowapa Argentina ushindi wa asilimia 100 katika kundi lao la F.
Bao la tatu la Argentina limefungwa na Marcos Rojo katika dakika ya 50.
Mabao mawili ya Nigeria yamefungwa na Ahmed Musa katika dakika ya 4 na 47.
Katika michuano ya mwaka huu, dhahiri, Argentina inamtegemea zaidi Messi katika mechi zake.
Baada ya kufunga mabao hayo, kocha Sabella alimpumzisha nyota huyu wa FC Barcelona kwa ajili ya mikikimikiki ya hatua ya 16.
Pia Sabella alishuhudia mshambuliaji wake, Sergio Kun Aguero akitolewa nje ya uwanja kwa kile kilichoonekana kupata maumivu ya misuli tena.
Main man: Messi (right) put his side into a 1-0 with this strike after just three minutes
Thank you: Messi points to the sky in celebration after his first goal of the game
Asante mungu: Messi akinyosha vidole kama ishara ya kumshukuru mungu baada ya kufunga .

BOSNIA 3 vs 1 IRAN


Deadlock broken: Edin Dzeko is muted in his celebration after opening the scoring for Bosnia and Herzegovina
Precision: The Manchester City striker put his nation in the lead with a sublime left-footed strike
Mshambuliaji wa Manchester City akifunga bao lake la kuongoza.
Out of reach: Iran goalkeeper Alireza Haghighi is given no chance as Dzeko's shot goes in off the post
Kipa wa Iran  Alireza Haghighi aliambulia manyoya tu. 
kama huja jiunga nasi kwenye  ukurasa wetu wa facebook kwa habari zaidi BONYEZA HAPA 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top