Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This











Watu watatu wamejeruhiwa leo alfajiri na kukimbizwa hospitali baada ya Gari lao dogo kupata ajali wakiwahi Ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Songwe . Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi na alikuwa akilipita gari lengine na mbele kukawa na Gari lengine nalo linakuja kwa mwendo na ndipo lilipo mshinda , akagonga nguzo za taa barabarani Kisha Kupinduka. Hata hivyo wasafiri hao safari yao iliishia RRM. 
PICHA NA MBEYA YETU

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top