Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
shi 
Stori za mastaa wetu wa Tanzania kila kukicha kunakuwa na vitu vipya ambavyo vinajitokeza mara kwa mara,kupitia You heard ya June 16 Soudy Brown ameamplify taarifa ambazo inasemekana Samir wa Kinyuli nyuli alihitaji kuwatumia wacheza show(dancers) wa Shilole na baada ya kuelewana Shilole aliombwa kutumiwa Laki 2 ili awalipe hao wacheza show.
samir 
Sasa ishu imekuja baada ya Shilole kupewa zile pesa hakufanikiwa kuwapeleka wale dancers na kitu kinachozungumziwa na Samir na kuhusu pesa aliyopewa anahitaji kurudishiwa maana video waliyotaka kuifanya tayari imekwishafanyika.
87.8 Clouds Fm inasikika ukiwa Mbeya.
Bonyeza play kusikiliza kilichosemwa na Samir na Shilole.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top