Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Rais Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba.
Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.
Wasanii wa Bongo Muvi, Shamsa Ford, Shija Deogratius, Cathy na Sandra wakiungana na waombolezaji.
Mohammed Fungafunga 'Jengua' akiwa msibani.
Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba akibadilishana mawazo na Habib Mrisho 'Sumaku'.
Rais Kikwete akiondoka baada ya kuwapa pole wafiwa.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amewasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small, Tabata, Mawenzi  jijini Dar na kutoa pole kwa wafiwa.
Baada ya kutoa pole Rais aliaga na kuondoka huku akiacha umati wa waombolezaji waliokuwa msibani hapo wakisubiri kumpumzisha Mzee Small katika nyumba yake ya milele.
CHANZO NI GPL

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top