Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Kapteni wa timu ya Uruguay D.Godin alimalizia mpira uliopigwa kona na kumalizia free head dakika ya 81 na kuifunga italy na kuitupa nje kwenye michuano hii ya kombe la dunia 
Claudio Marchisio wa Italy aoneshwa kadi nyekundu

Picha za video zimeonesha mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez akimng'ata beki wa Italy Giorgio Chiellini. Mwamuzi hakuona kitendo hicho lakini huenda hatua zitachukuliwa baadaye.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top