Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

COSTA Rica wamefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya kombe la dunia kwa kuifunga Ugiriki kwa mikwaju ya penati 5-3 baada ya dakika za kawaida na za nyogeza 30 kumalizika kwa sare ya bao 1-1.Hata hivyo kocha wa Ugiriki,  Fernando Santos alitolewa kwenye benchi kwa kuoneshwa kadi nyekundu kutokana na kumzonga mwamuzi katika mchezo huo ulioenda hatua ya penati.
Sokratis (kushoto) akifunga bao la kusawazisha dakika za lala salama 
 
Costa Rica walilazimika kucheza pungufu baada ya mchezaji wake Oscar Duarte kutolewa nje kwa kadi nyekundu mnamo dakika ya 67 kufuatia kadi mbili za njano.

Kikosi cha Costa Rica: Navas, Gamboa (Acosta 77), Duarte, Gonzalez, Umana, Diaz, Ruiz, Borges, Tejeda (Cubero 66), Bolanos (Brenes 83), Campbell.
Wachezaji wa akiba: Pemberton, Myrie, Barrantes, Francis, Granados, Miller, Calvo, Urena, Cambronero.
Kadi ya njano: Duarte, Tejeda, Granados, Ruiz, Navas.
Kadi nyekundu: Duarte.
GMfungaji wa goli: Ruiz 52.
 
Kikosi cha Ugiriki: Karnezis, Torosidis, Manolas, Papastathopoulos, Holebas, Karagounis, Salpingidis (Gekas 69), Maniatis (Katsouranis 78), Christodoulopoulos, Samaris (Mitroglou 58), Samaras. Subs: Glykos, Tzavelas, Moras, Tziolis, Kone, Mitroglou, Vyntra, Fetfatzidis, Tachtsidis, Kapino.
Booked: Samaris, Maonlas.
Mfungaji wa Goli: Sokrats 90+1 dakika moja nyongeza.
Mwamuzi: Benjamin Williams (Australia)
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top