Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




Kijana wa miaka  29 mwenye raia wa  Ufiilipino ambaye pia ni mgonjwa wa kansa amefunga ndoa akiwa kitandani na mpenzi wake alionyesha upendo wa ajabu kwa kufunga ndoa hiyo masaa machache kabla mauti hayaja mchukua lakini masaa 10  baadae mara baada ya ndoa hiyo kufanyika kaka wa kijana huyo aliripoti juu ya kifo cha ndugu yake huyo na hizi ndizo picha za ushahidi wa  siku hiyo ya harusi yake....


















kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top