Kijana wa miaka 29 mwenye raia wa Ufiilipino ambaye pia ni mgonjwa wa kansa amefunga ndoa akiwa kitandani na mpenzi wake alionyesha upendo wa ajabu kwa kufunga ndoa hiyo masaa machache kabla mauti hayaja mchukua lakini masaa 10 baadae mara baada ya ndoa hiyo kufanyika kaka wa kijana huyo aliripoti juu ya kifo cha ndugu yake huyo na hizi ndizo picha za ushahidi wa siku hiyo ya harusi yake....
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment