Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Basi la Kampuni ya AHIDA"S 
 lenye namba za usajili T 231 BHC linalofanya safari zake za kila siku Kutoka Dar - Lindi - TunduruLimepata ajali mapema asubuhi ya leo katika eneo la kijiji cha Kinyanya - Kibiti na kudaiwa Kusababisha Vifo zaidi ya watu 3 na majeruhi.

Ajali hiyo ilitokea baada ya Dereva wa basi hilo kumkwepa 
mtoto aliyekuwa anakatiza barabara.
 
 Mara baada ya kutokea ajali hiyo dereva aliweza kujisalimisha kituo cha polisi cha Kibiti. Basililikuwa likitokea Dar es salaam kwenda Tunduru.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top