Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Watoto wa kike wenye hadi umri wa miaka kumi na miwili, wanalaghaiwa na kuchagizwa kuingia katika ukahaba. Katika mji unaoonekana kama peponi, Malindi uliopo kwenye pwani ya Kenya, kisirisiri unaendesha biashara ya ngono kwa watoto. Watalii huwa tayari kulipa fedha ili kufanya ngono katika maeneo ya mwambao. Anne Soy anaarifu kutoka Malindi.
ANGALIA VIDEO HAPA CHINI
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top