Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Vidic akipewa zawadi kwa kuitumikia manchester united kwa kipindi na sasa ameshasajiliwa na juventus bob chartoni akimpa zawadi kama shuja ndani ya OT tangu enzi za sir alex ferguson hadi sasa ni giggs na kastafu leo hii kaingia dakika ishirini za mwisho na baada ya mchezo katangaza kutungika daluga juu.
kinda wa man utd akishangilia goli na vidic baada ya kuipatia timu yake goli wilson tangu msimu kuanza kacheza leo na kaingia nyavuni mara mbili huku goli lingine likifungwa na roben van persie huku hull city wakipata goli moja la kufutia machozi.
 
Kocha mchezaji Giggs akimlalamikia muamuzi katika mchezo huo uliokwisha kwa ushindi mnono kwa timu yake.
Matukio mbalimbali ya mchezo huo.
man utd imefikisha point 63 nafasi ya 7 huku ikiwa imebakiza mechi moja huku tottenham akiwa nafasi ya 6 na point 66.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top