Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Msanii wa filamu za maigizo nchini kutoka kambi ya Bongo Muvi, aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Adam Kuambiana anatarajia kuzikwa leo Mei 20, 2014 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam alipozikwa msanii mwenzake, Steven Kanumba.


Kwa sasa mwili wa Marehemu  Adam Kuambiana upo katika viwanja vya Leaders Club katika kuagwa na wananchi. 




Wengine nao wapo busy...
CHANZO HABARI NA MATUKIO & michuzi-matukio Blog

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top