Mke wa marehemu Adam Kuambiana, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa.
MWILI wa
Mwigizaji na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana utaagwa leo Jumatatu nyumbani kwake Bunju B, Dar na siku ya Jumanne asubuhi
utapelekwa Viwanja vya Leaders kuagwa na mashabiki wake.
Taarifa hizi zimetolewa na mke wa marehemu, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi (Chadema)!
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro











Post a Comment
Post a Comment