Haya ndo manejo ya Le Mutuz mara baada ya kukutana na Mhe. Vicky
Kamata, nanukuu:"Le Mutuz leo nilienda kumtembelea Mheshimiwa Mbunge
Vicky Kamata, Nyumbani kwake Sinza Kijiweni she is fine and doing great
baada ya kukutwa na mkasa mzito wa kukutana na Mwanaume Tapeli wa
Kina-dada wenye uwezo hapa mjini Bwana Charles Mfanyakazi wa Tigo hapa
mjini Dar. Ni Kijana aliyekwisha watapeli kina dada watatu hapa Mjini
wenye uwezo wakiwemo Mabebez wakareeezzz hapa town kama Super Restituta
na
BOFYA HAPA LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment