Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Na Saimeni Mgalula, Mbeya.

Mkazi mmoja Aswile Andokisye (24) wa kijiji cha Nkuyu kilichopo Wilaya ya Kyela.ameshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kukutwa na bhangi kete 64 Zenye uzito wa Gram 320.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Msaidi Mwandamizi wa Jeshi la polisi Ahmed Msangi alisema kuwa Tukio hilo lilitokea may 15 mwaka huu saa 8 mchana huko tatika eneo la kata ya nkuyu Tarafa ya Unyakyusa Mkoani hapa.

Pia Kamanda Msangi alimalizia kwa kusema kuwa mtuhumiwa alikuwa ni mtumiaji na muuzaji,na taratibu za kisheria zinafanywa ilimtuhumiwa afikishwe mahakamani alisema Kamanda Msangi
Aliendelea kwa kutoa wito kwa jamii kuacha kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya kwani ni kinyume na sheria.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top