Na Saimeni Mgalula, Mbeya.
Mkazi
mmoja Aswile Andokisye (24) wa kijiji cha Nkuyu kilichopo Wilaya ya
Kyela.ameshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kukutwa na bhangi kete 64
Zenye uzito wa Gram 320.
Akithibitisha
kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Msaidi
Mwandamizi wa Jeshi la polisi Ahmed Msangi alisema kuwa Tukio hilo
lilitokea may 15 mwaka huu saa 8 mchana huko tatika eneo la kata ya
nkuyu Tarafa ya Unyakyusa Mkoani hapa.
Pia
Kamanda Msangi alimalizia kwa kusema kuwa mtuhumiwa alikuwa ni mtumiaji
na muuzaji,na taratibu za kisheria zinafanywa ilimtuhumiwa afikishwe
mahakamani alisema Kamanda Msangi
Aliendelea kwa kutoa wito kwa jamii kuacha kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya kwani ni kinyume na sheria.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment