Mtanzania
ambaye hajatajwa jina amekamatwa na dawa za kulevya aina ya cocaine
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji.
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi, Orlando Madumane, Mtanzania huyo amekamatwa baada ya kutua uwanjani hapo akitokea Brazil.
Alikutwa
akiwa na jumla ya vidonge 70 vya cocaine kwenye tumbo. Kwa sasa
anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Maputo akisubiri kufikishwa
mahakamani.
TAARIFA HIYO KWA KIINGEREZA HII HAPA
The Mozambican police arrested a 27 year old Tanzanian at Maputo International Airport last week for drug trafficking.
At his weekly
press briefing on Monday, the spokesperson for the Maputo City Police
Command, Orlando Mudumane, said that the Tanzanian had travelled from
Brazil with 70 ampules of cocaine in his stomach. He was submitted to a
medical procedure to expel the drug, and is currently under preventive
detention in a Maputo police station.
Mudumane also announced that a suitcase was seized at the airport
contained pieces sculpted from ivory and two rhinoceros horns, presumed
to be the result of poaching. The suitcase was owned by a Vietnamese
citizen who was taking it back to Vietnam. But when he realized the bag
had been seized, he fled from the airport.
Mudumane said this was the second case of such seizures within a
week, and the owners of the bags had all managed to escape. “Measures
are under way to discover the whereabouts of these individuals, who are
all Vietnamese”, he said.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment