Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Mshindi wa EBSS 2012 Walter Chilambo amenusurika kifo katika ajali ya gari iliyotokea jana usiku na gari yake kuharibika.Chilambo ameshare picha ya gari aliyopata nayo ajali na kuandika ujumbe huu,


“Asante Mungu kwa kila jambo nilipata ajali Jana usiku lakini nashukuru Mungu nipo Salama ila mashine imezingua kidogo daaaa Mungu mkubwa sana tunatembea na kifo mkononi…tukumbuke kusali”<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top