Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

 
Wiki iliyopita tuliweka habari ya Rose Ndauka kutolewa mahari na msanii mwenzake Malick Bandawe ambaye wamekuwa katika uhusiano kwa muda mrefu na kufanikiwa kupata mtoto. Habari hizo zilitoka kwa chanzo cha karibu na wawili hao. 

Baada ya kupata habari hizo Swahiliworldplanet iliamua kumuuliza Malick Bandawe "Chiwa Man" kuwa ni kweli amemtolea Rose mahari na kama ni kweli harusi yao inatarajiwa kuwa lini?. Malick alijibu " Ndoa yetuinafuata soon kama ulivyoona kuwa mahari tayari tuombe uzima ila ni mwaka huu" 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top