Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij ametaja jina la kikosi kilicho kambini kwa ajili ya michezo miwili ya nyumbani na ugenini dhidi ya Zimbabwe katika kutafuta nafasi ya kushiriki kombe la mataifa ya Africa itakayofanyika Morocco mwakani. Kikosi hicho ni:


Magolikipa:
Deogratias Munishi
Aishi Manura


Mabeki:
Said Morad
Oscar Joshua
Kelvin Yondani
Erasto Nyoni
Nadir Haroub
Shomari Kapombe


Viungo:
Himidi Mao
Mwinyi Kazimoto
Frank Domayo
Amri Kiemba
Jonas Mkude
Haruna Chanongo
Simon Msuva


Mrisho Ngassa
Hamis Mcha

Washambuliaji::
Ramadhan Singano
John Bocco
Kelvin Friday
Elias Maguhi 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top