Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper
amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na
masuala ya mapenzi hajawahi kulia.


Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper
ambaye ana muonekano wakigumu’, alisema
siku zote anaamini katika kupambana hivyo
hawezi kumlilia mwanaume hata iweje.
 
Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na
mwanaume, akili yangu yote inaamini katika
kutafuta maisha hivyo siwezi kujirahisisha
nikamwaga machozi kwa ishu za mapenzi,”
alisema Wolper.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top