
Katibu
Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Morogoro (MRFA), Hamis Semka (kulia)
akimkabidhi cheti mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Juma Kaseja baada ya
kuhitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya
daraja A katika hafla iliyofanyika Bwalo la Umwema, Morogoro.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment