Msanii
Jacob Steven ‘JB’ amedondoka katika Viwanja vya Leaders wakati
akimuelezea msanii mwenzake marehemu Adam Kuambiana. JB akianguka chini baada ya kushindwa kuvumilia.
Tukio hilo limetokea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa marehemu kabla ya maziko yatakayofanyika baadaye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Marehemu Kuambiana alifariki dunia ghafla Jumamosi ya Mei 17 mwaka huu wakati akipelekwa katika Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge, Dar.
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Tukio hilo limetokea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa marehemu kabla ya maziko yatakayofanyika baadaye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Marehemu Kuambiana alifariki dunia ghafla Jumamosi ya Mei 17 mwaka huu wakati akipelekwa katika Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge, Dar.
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment