Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Love ukipenda muite DIVA THE BOSS....ameibuka na kusema hadharani kuwa yeye ni team wemasepetu yaani ni miongoni mwa mashabiki wa kweli yaan wa kufa na kupoma wa mwanadada Wema Sepetu....Kauli hii aliitoa kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM ikiwa ni baada ya wale wanao Mdis (kutoka team nyingine)  kuandika kuwa yeye ni kibaraka wa Wema Sepetu.....na kumponda kuhusu mahusiano yake ya kimapenzi na mpenzi wake wasasa  ambae ni GK  na yule mbunge maarufu hapa nchini aliekuwanae kabla.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top