Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
MSANII wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee(v – money) amefunguka kuwa yeye alikua miongoni mwa majaji waliopiga kura kwa ajili ya wasanii waliotajwa kwenye categories za tuzo za BET Awards 2014.
Majaji hao wanakua 500 kutoka barani Africa, UK na Marekani ambako tuzo hizo zinafanyika kila mwaka tangu mwaka 2001, na mwaka huu msanii Diamond Platnumz ataiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza Vanessa amefunguka mchakato ulivyokuwa na kura yake ilienda kwa nani.  
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Bofya hapo chini kusikiliza.


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top