Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwanamama kazini: Helena Costa (kulia) ndiye mocha mpya wa Clermont Foot ya Daraja la Pili Ufaransa
Groundbreaking: Current Iran boss Costa (left) will become the first female manager in a major European league
Kocha wa Iran, Costa (kushoto) atakuwa mocha mpya wa timu ya ligi kubwa Ulaya
KLABU ya Daraja la Pili Ufaransa, Clermont Foot imemuajiri mwanamama Helena Costa kuwa mocha wao mpya.
Mama huyo mwenye umri wa miaka 39 atakuwa mocha wa kwanza wa kike kuongoza timu ya maharaja mawili ya juu katika Ligi za Ulaya.
 
Costa kwa sass ni mocha wa timu ya taiga ya wan awake ya Iran ambaye awali alifundisha timu za wan awake za Qatar na Benfica. Pia amewahi kufanya kazi na mabingwa wa Scotland, Celtic.
Taarifa ya Clermont imesema: "Helena Costa ataifundisha Clermont Foot msimu ujao. Itaisaidia klabu kuingia katika zama mpya.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top