Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Vijana wawili waliotaka kupora mkoba wa dada mmoja wakiwa hoi kwa kichapo kutoka kwa wananchi.
Mmoja wa vibaka hao akiwa mtaroni baada ya kipondo.
Wananchi wakiwa eneo hilo la tukio.
Mmoja wa vibaka hao akizidi kusurubishwa kabla ya polisi kufika na kuwanusuru.
VIJANA wawili waliokuwa katika pikipiki aina ya Boxer wamenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali eneo la Kijitonyama baada ya kumpora dada mmoja mkoba.
Vibaka hao walifanikiwa kumpora dada huyo aliyekuwa akitembea kwa miguu akitokea Benki ya  Access katika maeneo ya showroom ya Akachube iliyopo Kijitonyama jijini Dar.
Wakati wa uporaji huo, alikuwepo msamaria mmoja aliyekuwa na gari aina ya Toyota Carina aliyefanikiwa kuwasukumia mtaroni na gari lake ambapo wananchi walianza kuwashushiwa kichapo cha kufa mtu.
Kipondo kiliendelea mpaka askari wa jeshi la polisi walipofika na kuwanusuru.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top