Akiwa
ni miongoni mwa wasanii wenye majina yao Tanzania na hata kwenye nchi
jirani, mwimbaji Shaa atarudi tena kwenye spika zako na kwenye TV yako
hivi karibuni akiwa na sound mpya ya single yake ambayo mazingira ya
kiswahili/Kitanzania yamehusika ndani yake.
Hii ni
May 18 2014 wakati akiifanya video ya single hii iitwayo ‘subira’
maeneo ya Manzese Dar es salaam kupitia mikono ya Director anaepewa
heshima kila siku kutokana na mikono yake kuhusika kuzipeleka mbali
video za kitanzania…. Adam Juma kutoka Next level.
Wakati
ukiwa tayari kupokea video mpya unaweza kutumia sekunde zako kucheki
jinsi utengenezwaji wenyewe ulivyofanyika kisha uache maoni yako
yatakayosomwa baadae jioni.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment