Jokate Mwegelo amekanusha vikali kuhusiana na
picha za utupu zilizozagaa mitandaoni hivi
karibuni kuwa si zake.
Akizungumzia ishu hiyo, Jokate ambaye pia ni
mwigizaji alisema kuna mitandao imeanzisha
uvumi huo kwa kuweka picha ya mtu mwingine
na kudai ni yeye.
“Mitandao ya kijamii inakera sana. Kila mtu
anaandika habari itakayowafanya watu wafungue
‘blogi’ yake, siwezi kupiga picha ya utupu,”
alisema Jokate.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment