Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
KIONGOZI wa kwanya katika Kanisa la St. Peter, Oysterbay jijini Dar, Rogers Mgonja amemtetea mwanamitindo mahiri Bongo, Jokate Mwegelo kuwa hajalikacha kanisa kama inavyodaiwa.
Mwanamitindo mahiri Bongo, Jokate Mwegelo
Hivi karibuni ziliibuka taarifa kuwa, Jokate amezuiwa kutinga kanisani hapo kutokana na kuvaa mavazi ya nusu utupu yasiyoendana na maadili.
 <<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>> 
“Jokate ni mwanadada mwenye nidhamu sana kanisani, viongozi wote wanampenda ni mpole na msikivu, Kama ni mavazi, kanisani anavaa mavazi ya heshima ni ngumu sana kumfukuza kwa sababu ambazo haziingiliani na masuala ya kanisa,” alisema Mgonja.

 <<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>>  

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top