KIONGOZI wa kwanya katika Kanisa la St. Peter,
Oysterbay jijini Dar, Rogers Mgonja amemtetea mwanamitindo mahiri Bongo,
Jokate Mwegelo kuwa hajalikacha kanisa kama inavyodaiwa.
Hivi karibuni ziliibuka taarifa kuwa, Jokate amezuiwa kutinga
kanisani hapo kutokana na kuvaa mavazi ya nusu utupu yasiyoendana na
maadili.<<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>>
“Jokate
ni mwanadada mwenye nidhamu sana kanisani, viongozi wote wanampenda ni
mpole na msikivu, Kama ni mavazi, kanisani anavaa mavazi ya heshima ni
ngumu sana kumfukuza kwa sababu ambazo haziingiliani na masuala ya
kanisa,” alisema Mgonja.<<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment