KUKOPI
na kupesti bila kuboresha! Mastaa wenye mapenzi kama ya njiwa kutoka
kiwanda cha filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray The
Greatest’ wamekuwa wakitupia swaga za picha kama zile za Kim Kardashian
na mwandani wake, Kanye West.
Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, Chuchu na Ray ambao majina
yao yameunganishwa na kuwa Chura wamekuwa wakichukua sampo za picha za
akina Kim nao kujifotoa kisha kuzisambaza.
“He! Mmewaona Chuchu na Ray? Eti wanakopi na kupesti swaga kama zile za Kim na Kanye kisa mapenzi yamekolea,” alisema mdau mmoja baada ya kuziona picha hizo mtandaoni.
“He! Mmewaona Chuchu na Ray? Eti wanakopi na kupesti swaga kama zile za Kim na Kanye kisa mapenzi yamekolea,” alisema mdau mmoja baada ya kuziona picha hizo mtandaoni.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment