Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

DUKA la kuuza Rasta za wakina Dada (Urembo) limevamiwa na watu waliosadikika kuwa majambazi, Ni mda mchache uliopita kutoka sasa tangu tukio hilo li
jiri maeneo ya Kariakoo jijini Dar Es Salaam,

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba majambazi waliojaribu kufanya jaribio hilo baadhi yao wameuwawa na baadhi, Idadi kamili endelea kufatilia hapa maana waandishi pamoja na wadau bado wapo katika eneo la tukio kufatilia kwa kina,

Hivyo ndugu msomaji wangu endelea kufatilia hapa.





CREDIT MASAI NYOTA MBOFU

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top