Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Blandina Chagula(Johari) anadaiwa kuwa amelazwa katika hospitali moja jijini Dar es salaam kutokana na kuumwa ingawa bado haijajulikana nini kinamsumbua star huyo mkongwe wa filamu Swahiliwood. kwa mujibu wa mtandao mmoja ndugu mmoja wa Johari alisema kuwa Johari anaumwa sana na amelazwa hospitali moja jijini Dar es salaam lakini alikataa kuitaja hospitali hiyo kwa kuhofia waandishi wa habari akidai watamsumbua star huyo "kwa kweli Johari anaumwa sana na tunaomba dua zenu tu" alisema ndugu huyo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top