Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mchungaji Daniel Lesego wa Kanisa la Rabboni Centre ambalo lipo eneo la Ga-Rankuwa, Kaskazini mwa Pretoria, amewafanya Waumini wa Kanisa lake wale majani alipokuwa akihubiri juu ya nguvu za Mungu kuwa zinaweza kumfanya mwanadamu ale kitu chochote.

Alisema Mchungaji huyo: “Njooni na le ili macho yenu yaweze kuona. Simon Peter alisema: Naenda kuvua, hii si sawa. Alirudi tena kwenye sehemu ambayo Yesu alimkuta. Haya ni aina ya majabu ambayo yatasababisha wengi kutubu sababu huu ni ujumbe kupitia miujiza, alama na maajabu. Yesu hakuja kwa namna ya kirafiki sababu wao walikuwa wakifanya kile ambacho hakuwaagiza kufanya.”

“Paul anasema: Nabeba kifo cha Yesu ndani yangu sababu yeye anaula mwili wake.”




Daniel Lesego





tazama video hapa chini

                                

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top