Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Habari zilizotufikia muda si mrefu zinathibitisha kwamba Mkutano Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi umemchagua tena James Mbatia(Pichani) kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi kingine cha kuanzia Januari 2014-2019.

Katika uchaguzi huo, Mbatia alikuwa akichuana kwa mbali na aliyekuwa Kamishna wa chama hicho mkoa wa Katavi Charles Makofila na mpaka mwisho Mbatia ameshinda kwa kura 201 huku Makofila akiambulia kura 26 na kura moja ikiharibika.

Wajumbe waliohudhuria mkutano huo walikuwa  228 kati ya 289.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top