Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Kim Kardashian - With Nicole Richie at 13 years old
Kim kardshian na Nicole walipokuwa na umri wa miaka 13.
Kama ulikuwa hufahamu ni kwamba,  Baby mama wa Rapa Kanye West,  Kimberly Kardashian aliwahi kuwa rafiki mkubwa na staa Nicole enzi za utoto wao kipindi walipokuwa na umri wa miaka 13.
Huku Rapa kutoka West Coast,  Snoop Dog a.k.a Snoop Lion kuwahi kuwa rafiki wa karibu na actress Cameron Diaz wakati huo wanasoma High School na ndiye aliyekuwa mteja wake mkubwa wa bangi aliyokuwa anauza enzi hizo.
Cameron Diaz and Snoop Dogg went to the same California high school but were a year apart.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top