Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Waziri Mkuu wa Zamani, Ariel Sharon Amefariki dunia hivi punde katika hospitali alikokuwa amelazwa kwa muda mrefu 

kwa matibabu ya kiarusi.  


Aliyekuwa waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon amefariki akiwa na umri wa miaka 85.


Alikuwa katika hali ya umahututi kwa miaka nane tangu mwaka 2006.


habari zaidi zitawajia hivi punde!!!


-bbc

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top