Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.
Muonekano wa basi la Mtei baada ya kuzimwa moto huo.
Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka Singida zinasema Basi la
abiria la Matei linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Dar
limechomwa moto na kuteketea kabisa na watu wenye hasira kali baada ya
kugonda bodaboda ambayo ilikuwa imepakia ‘mshikaki’ wa watu watatu ambao
walikufa papohapo eneo la tukio.
Hakuna abiria wa basi aliyeumia. Mwandishi wetu aliye kwenye tukio
amesema Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela yupo
eneo ya tukio akishughulikia sakata hilo.
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment