Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.
 
Muonekano wa basi la Mtei baada ya kuzimwa moto huo.
Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka Singida zinasema Basi la abiria la Matei linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Dar  limechomwa moto na kuteketea kabisa na watu wenye hasira kali baada ya kugonda bodaboda ambayo ilikuwa imepakia ‘mshikaki’ wa watu watatu ambao walikufa papohapo eneo la tukio.

Hakuna abiria wa basi aliyeumia.  Mwandishi wetu aliye kwenye tukio amesema Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela yupo eneo ya tukio akishughulikia sakata hilo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top